Mimi Na Tanzania
“Mimi Na Tanzania” ni kipindi kinachohusu masuala yanayoigusa jamii kwa namna moja au nyingine haswa katika siasa, uchumi,michezo,na vikwazo na vimbwangwa vinavyoikumba jamii ya kitanzania.
“Mimi Na Tanzania” ni kipindi kisicho na upendeleo katika kumsaidia mwananchi wa kawaida haswa unyanyasaji unaofanywa na wanaodhani wana nguvu kuliko aliyewaumba.
Tunamulika kaskazi hadi kusini, magharibi hadi mashariki ili kujenga jamii yenye amani, haki na upendo.
“Mimi Na Tanzania” ni kipindi pekee kinachofunga safari kukutafuta habariza kijamii popote pale Tanzania.


Comments
Posted On
Nov 06, 2011Posted By
Mark ThomsonPosted On
Mar 10, 2013Posted By
Rastafari FrancisPosted On
Nov 14, 2011Posted By
zuzuPosted On
Jan 03, 2012Posted By
AlisonPosted On
Dec 11, 2011Posted By
ThomasPosted On
Dec 12, 2011Posted By
romeo.luigiPosted On
Mar 19, 2012Posted By
Emanuel PantaleoPosted On
Mar 20, 2012Posted By
Immaculata KadyanjiPosted On
Mar 21, 2012Posted By
hoyce temuPosted On
Apr 16, 2012Posted By
odettePosted On
Apr 16, 2012Posted By
Hoyce TemuNapenda kukutaarifu kwa masikitiko makubwa sana Mtoto Sesilia Edward hatunaye tena. Tulifanikiwa kumpeleka India lakini madaktari walikataa kumfanyia operesheni kwani walisema alifikia stage mbaya na pia alikuwa na sumu ya mihogo mwilini ambayo ilikwishamdhuru sana. Tulitangaza kifo chake katika blogs zote. Asante sana kwa ushirikiano wako. Hoyce
Posted On
Apr 16, 2012Posted By
odetteVile vile Napenda nikupongeze sana kwa kipindi hiki unachoendesha huwa napenda kukiangalia sana nikiwepo nyumbani na kinanijengea upeo wa kutafakari ubinadamu na uwepo wa mungu na kujiuliza mimi ni nani nahisi ni kwa wote wapenzi wa kipindi hiki katika rika mbali mbali na wenye uwezo mbali mbali wa hali na mali.Mungu akutie nguvu na kukuongezea ujasiri.Wewe ni Role model kwa maMiss Tanzania na utazidi kubarikiwa,tuta endelea kukuunga mkono.Ubarikiwe sana.
Posted On
Apr 16, 2012Posted By
Hoyce TemuPosted On
Apr 21, 2012Posted By
Avelina MatindePosted On
Apr 24, 2012Posted By
Mainde NkyaPosted On
Apr 26, 2012Posted By
StellaPosted On
Apr 26, 2012Posted By
MauaPosted On
Apr 26, 2012Posted By
Musa HassanPosted On
Apr 28, 2012Posted By
ShiawasePosted On
Aug 20, 2012Posted By
mwingira.benedictPosted On
May 11, 2012Posted By
Eva ValerianHaki ya wanandoa wanapoachana kuhusu mgawanyo wa mali na haki ya kumlinda kisheria.
Posted On
May 20, 2012Posted By
Saidi MsangiPosted On
May 26, 2012Posted By
Mercy katabiPosted On
May 30, 2012Posted By
Prosper ChakiPosted On
May 30, 2012Posted By
hoyce temuPosted On
Jun 24, 2012Posted By
Bob_DashUshauri wangu kwako ingekuwa vizuri kukuona wewe katika ulingo wa siasa, naona unafaa sana kuwakilisha Watanzani katika taasisi muhimu za kitaifa mfano Bungeni ama ngazi za juu za utawala Mikoani, otherwise endelea na kazi yako nzuri ya kuwakilisha na kutetea jamii.
Posted On
Sep 08, 2012Posted By
AbdulNilifatilia kile kipindi kinachohusu ile familia ya watoto waliokua wanapata ulemavu kila wanapotimia umri wa miaka 10.
Kuna hawa kina Mze wa Upaku, Kakobe na wengine tunasikia wanponya walemavu na wenye magonjwa sugu, ungejaribu kuwasiliana nao huenda wakaisaidia ile familia.
asante.
Posted On
Sep 09, 2012Posted By
Elizabeth MgayaPosted On
Oct 01, 2012Posted By
ALLEN RAPHAEL ARUSHAPosted On
Oct 13, 2012Posted By
KokuPosted On
Oct 15, 2012Posted By
ALLEN RAPHAEL ARUSHAPosted On
Oct 18, 2012Posted By
luluPosted On
Dec 07, 2012Posted By
kizegeliPosted On
May 12, 2013Posted By
Agape Nzowa